Loading

(Verse 1)

Huum Niutoto tu ila mie
kwako sipiduwi, ndo maana
usiku nikinuna najichesha
asubuhi

Niujinga tu ila mie kwako
fala ndo maana usipo pokea
simu siwezagi lala

umenifunza tofauti ya
kupenda na kupendana na
kuongezwa sauti hata
macho huseme sana

Na mapenzi yanataka imara
kuaminiana, nami kwako sina
shaka we amuwa unatachofanya

(Bridge)

Na hivi viinzi vyakuzengea
wizi vikichanga inzi
visikunyime amani

Lala usingizi upepo wa
parizi mie mambo ya uzinzi
yaku vya kazi gani baby
hapo hapo ilipo mbao

(Chorus)

(Nigongeye na msumari)
ooh penzi letu tuboreshe
Nigongeye na msumari
niezekana patihari

(Nigongeye na msumari)
Mvua ya chuki isipenyeshwe
(Nigongeye na msumari)

(Verse 2)

Oh njiwa nenda njiwa njiwa
peleka salamu (Peleka
salamu) Naivasha kivule oh
masa zikife lamu

Njiwa nenda njiwa njiwa
peleka salamu ziende mpaka
kwa yule alonitesa mwanaramu

Si alisema mimi sitopata
wathamani hasa hii ni nini
muulize huyu nani

Wamebaki kutabiri si punde
tutaachana wambie sio kwa
penzi hili mbona wataroga
sana

(Bridge)

Na hivi viinzi vyakuzengea
wizi vikichanga inzi
visikunyime amani

Lala usingizi upepo wa
parizi mie mambo ya uzinzi
yaku vya kazi gani baby
hapo hapo ilipo mbao

(Chorus)

(Nigongeye na msumari)
ooh penzi letu tuboreshe
Nigongeye na msumari
niezekana patihari

(Nigongeye na msumari)
Mvua ya chuki isipenyeshwe
(Nigongeye na msumari)

Voir aussi ➔ Natulizana & Nani

Added by

lyrics africas

SHARE

Votre adresse e-mail ne sera pas publiée. Les champs obligatoires sont indiqués avec *