Loading

(Verse 1)

Somebody somebody love you girl
i want you to know unacho
kitafuta nimejaliwa, i wish you
knew i have been waiting for you

Kwamba siku moja utaniona, ila
siku zinavyo zidi kusonga, tama
ninakata kwa mrefu mama pana
kile unachokitafuta ninacho hapa

Ila umenifanya mfarijii wa
kukuliwaza, kila unapo ulizwa

kwani na-angaikia nini ? anaye
kupenda bora ni mimi, hii subira
yako inanikata maini, nilipo fika
mimi sijui nifanye nini

(Chorus)

Jua penzi lako ni me, unajua
furaha yako ni me, anytime you’re
looking for love, you know where
to find me baby

Unajua mali yako ni mimi, unajua
furaha yako ni me, anytime you’re
looking for love, you know where
to find me baby

You know where to find me ouh ouh
You know where to find me youh ouh
You know where to find me, You know
where to find me

(Verse 2)

Staki somo au fikiria akili inakata
Ila moyo wasikia, nimesahau nemesha
umizwa before, angalau ungenipa
likizo kidogo

Tatizo kilio changu husikii naumia
Usijifanye ka hujui nakuzimia oh
basi unipe likizo kidogo

(Bridge)

kwani na-angaikia nini ? anaye
kupenda bora ni mimi, hii subira
yako inanikata maini, nilipo fika
mimi sijui nifanye nini

(Chorus)

Jua penzi lako ni me, unajua
furaha yako ni me, anytime you’re
looking for love, you know where
to find me baby

Unajua mali yako ni mimi, unajua
furaha yako ni me, anytime you’re
looking for love, you know where
to find me baby

You know where to find me ouh ouh
You know where to find me youh ouh
You know where to find me, You know
where to find me

Added by

lyrics africas

SHARE

Votre adresse e-mail ne sera pas publiée. Les champs obligatoires sont indiqués avec *