![]()
(Intro)
Onaa naaa nana nanaaaah
Anaitwaje uyo jay
Jay once again
(Couplet 1)
Nilikukosea naomba unisamehe
Nishajionea kwamba sina lolote
Bila wewe siwezi endelea
Naomba tuendelee
Yalikua matamu mapenzi yetu
Yalikua super aaah
Ex dua gani uliyoisoma ah
Kama ndo chamoto nimekiona
Aku siwezi, Kujifanya niko sawa
Kumbe inachoma, Inaumiza Nimeshindwa
kukaza mwanzako natakaa
(Refrain)
Turudiane
Mwenzio nataka
Turudiane
Mwenzako nataka aah
Turudiane
Mwenzio nataka
Turudiane
Once again
(Couplet 2)
Saa sita saa saba usiku
Nitakupigia nna kitu
Nawe pokea japo tu
Nikuongeleshe kakitu
Huku nje kila mtu wa mtu
Nishakua single masiku
Basi nielewe kiduchu
Tumalize hili beaf
Nimeshindwa
Ku move on
Nimeshindwa
Ku move on
Hata siwezi
Ku move on
Wanawezaje
Ku move on
(Pont)
Ex dua gani uliyoisoma ah
Kama ndo chamoto nimekiona
Aku siwezi, Kujifanya niko sawa
Kumbe inachoma, Inaumiza Nimeshindwa
kukaza mwanzako natakaa
(Refrain)
Turudiane
Mwenzio nataka
Turudiane
Mwenzako nataka aah
Turudiane
Mwenzio nataka
Turudiane
Once again
Added by
lyrics africas
WRITE A COMMENT
WRITE A COMMENT

No comments yet