LYRIC

Loading

Kisa tu nilinyamaza haimaanishi
nilikua na hatia, kwa ile hasira
ulio nayo, niliona ninyamaze

Nahisi hukuthamini ukweli ulichojali
ni wewe kuwa sawa, hukunipa fursa
nijieleze kabla tuachane

Wanasema kimya kingi kina vishindo
stress kazi pelekea pombe, zile
missed calls zangu pamoja na wito
ilotuma ilimradi tu nikuone

Wewe ulichotaka tu yakome, you never
heard the side of my story, ukang
ang ana kunbebesha msalaba ambao sio
wangu

Ulinilazimisha dhambi ambazo sijatenda
kinachoniuma, ni kwamba unanijua baba
ila ukachagua kuwa mi ni waanga, nahisi
kama ukweli unaujua, ulichotafuta sababu
ya kuniacha

Ulinihukumu vibaya wala hukunifumania
kama ukweli hauna maana hamnazo sina
tena

Ulinihukumu vibaya wala hukunifumania
kama ukweli hauna maana hamnazo sina
tena

Hivi ulichotaka mimi nidhalilike, kwa-
kujiaminisha uongo wa marafiki zako
hivi bwana ushawahi kuaza, kama nastahili
adhabu niliyopata

Alright it dont matter, silalamiki, ila
ni vipi leo una mpenzi mpya, nahisi ni
kama alikuwepo, poka zamani hivi penzi
langu kwako halikumaanisha chochote ina
maana

Nahisi ndio sababu yangu mimi na wewe
kuachana, ukang ang ana, kunbebesha
msalaba ambao sio wangu

Ulinilazimisha dhambi ambazo sijatenda
kinachoniuma, ni kwamba unanijua baba
ila ukachagua kuwa mi ni waanga, nahisi
kama ukweli unaujua, ulichotafuta sababu
ya kuniacha

Ulinihukumu vibaya wala hukunifumania
kama ukweli hauna maana hamnazo sina
tena

Ulinihukumu vibaya wala hukunifumania
kama ukweli hauna maana hamnazo sina
tena


Added by

lyrics africas

SHARE

Votre adresse e-mail ne sera pas publiée. Les champs obligatoires sont indiqués avec *

ADVERTISEMENT

VIDEO